Thursday 4 April 2013

Wimbo wa klean heart wawacha wachovu mdomo wazi

Klean heart ni msanii wa kizazi kipya anaetokea mji wa Malindi pwani ya Kenya. Amekuwa kwa safu ya mziki miaka kadhaa hivi huku akiwa na kibarua cha kuufanya mziki wa malindi upande ngazi za kimataifa. Amewahi kushinda tuzo kadha ikiwemo ile ya Uhuru live concert iliyodhaminiwa na shirika la mawasiliano Celtel kenya. Kwa sasa amewachilia video hii ya nyimbo kinaya aliyomshirikisha Jix ambayo inaonekana kama alikuwa akiwadadisi wasanii fulani, Japo sio wengi wenye kuielewa nyimbo hii lakini inaonekana kama kejeli flanii hivi.Klean heart anapanga kusafiri Nairobi kukamilisha album yake.