Monday 2 June 2014

Leo nataka kuongea kuhusu wasanii na uchoyo walionao katika nyanja hii ya burudani.Mara nyingi wasanii huitana na kueka vikao bila kujua kuwa pana watu ambao wanahitajika kwenye vikao hivyo kuboresha mazungumzo.Naongelea kuhusu Ma Djs ambao wanapiga mziki na wanajua kwa sasa ni mziki aina gani upo masikioni na ni vipi msanii anaweza toka.Jamaani wasanii hawa Ma DJs ni muhimu sana hebu msiwadharau wapeni nafasi muone.