Leo nataka kuongea kuhusu wasanii na uchoyo walionao katika nyanja hii ya burudani.Mara nyingi wasanii huitana na kueka vikao bila kujua kuwa pana watu ambao wanahitajika kwenye vikao hivyo kuboresha mazungumzo.Naongelea kuhusu Ma Djs ambao wanapiga mziki na wanajua kwa sasa ni mziki aina gani upo masikioni na ni vipi msanii anaweza toka.Jamaani wasanii hawa Ma DJs ni muhimu sana hebu msiwadharau wapeni nafasi muone.
Music,shows,Awards and celeb activities in Malindi.
Monday 2 June 2014
Thursday 4 April 2013
Wimbo wa klean heart wawacha wachovu mdomo wazi
Thursday 28 February 2013
Dorothy Nyambu a.k.a Dotty akanusha kile ambacho wenzake wanakieneza kuwa mchumba wake anamzuia kuendeleza talanta yake.Anasema amekuwa na mwito mkubwa kwenye safu hii ya filamu na kila mmoja anataka aende mbele hata mchumba wake pia.Dotty ambaye aliwahi onekana kwa mara ya kwanza katika filamu ya MUME NI KAZI iliyotayarishwa na Ogutu Atata chini ya Heartland kenya,anashukuru familia yake kumpa support kubwa na tayari anatayarisha filamu nyingine kwa jina UZITO WA HISIA ambayo ananuia kufanya vizuri zaidi."nimejifunza mengi hasa wakati tukiwa kwenye mazoezi na sasa naja na mbwembwe za hali ya juu"asema Dotty
Subscribe to:
Posts (Atom)